NA ZAINAB IDDY
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amisi Tambwe amesema hana muda mrefu kuitumikia Simba, kwani ameanza mazungumzo na timu moja ya Saudi Arabia.
Tambwe aliyasema hayo juzi kwenye mazungumzo maalumu saa chache kabla ya kuelekea Bujumbura, Burundi, baada ya kumalizika kwa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara.
Alisema kuna uwezekano mkubwa akavunja mkataba na Simba na huenda asionekane katika kikosi hicho katika mzunguko wa pili, endapo mazungumzo...